Monday, August 15, 2016

PICHA ZA MAZISHI YA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR, MZEE ABOUD JUMBE MWINYI

Wananchi wakibeba jeneza lililobeba  mwili wa marehemu Mzee Aboud Jumbe Mwinyi,  Raisi Mstaafu wa  awamu ya pili ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Wakati wa Mazishi yake yaliyofanyika leo mchana nyumbani kwake Migombani Unguja



Source: Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment