Wednesday, May 18, 2016

TV 288 ZAKAMATWA CHOONI KATIKA BANDARI YA KILWA KWA LENGO LA KUKWEPA KODI..

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa na  na Kamati ya ulinzi na usalama wilayani humo wanasa luninga (TV) 288 zilizofichwa  chooni katika Bandari ya Kilwa Mkoani Lindi kwa lengo la kukwepa kodi.

Taarifa kamili itakujia Muda si Mrefu..............!!!

No comments:

Post a Comment